Tuliyo nayo ni pamoja na : Marekani yatangaza inasitisha ufadhili wake kwa shirika linalowasaidia wakimbizi Wapalestina// Mahakama nchini Brazil yatoa uamuzi kuwa rais wazamani wa Lula da Silva aliye gerezani hatagombea uchaguzi mwaka huu// Mbunge wa upinzani Uganda asafiri nje ya nchi kwa ajili ya matibabu.