Umoja wa Ulaya kuisaidia Serikali ya Kongo Kijeshi
18 Oktoba 2007Matangazo
Aliyasema hayo waziri wa ulinzi wa ureno ambaye yuko mjini kinshasa. Kwa wakati huohuo tume ya umoja wa mataifa nchini humo imesema kwamba suluhu ya kisiasa ni bora zaidi kwa kumalizisha vita jimboni KIVU ya kaskazini.
Taarifa kamili na mwandishi wetu saleh Mwanamilongo
Taarifa kamili na mwandishi wetu saleh Mwanamilongo