1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Antonio Guterres

António Manuel de Oliveira Guterres GCC GCL ni mwanasiasa wa Ureno na mwanadiplomasia anaehudumu kwa sasa kama Katibu Mkuu wa tisa wa Umoja wa Mataifa. Zamani alikuwa Kamishna Mkuu wa Shirika la wakimbizi UNHCR.