1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Niger Niamey | Proteste | Unterstützung der Militärputschisten
Picha: AFP/Getty Images

Niger

Jamhuri ya Niger ndiyo nchi kubwa zaidi Afrika Magharibi, ikitoa jina lake kwa Mto Niger. Nchi hiyo hivi sasa inakabiliwa na mzozo mkubwa kufuatia mapinduzi ya kijeshi yaliomuondoa rais Mohamed Bazoum.