TAMWA: Historia, dhima na mchango kwa demokrasia ya Tanzania
Ambia Hirsi14 Oktoba 2015
Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake nchini Tanzania (TAMWA) kilianzishwa kwa lengo la kuhakikisha sauti ya mwanamke inasikika na matakwa yake yanaakisika kupitia tasnia ya habari nchini humo. Kwa kiasi gani azma hiyo imefikiwa? Ungana na Ambia Hirsi.