1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

John Pombe Magufuli

John Pombe Joseph Magufuli alikuwa rais wa tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Alichaguliwa Oktoba 2015 na kurithi mikoba ya Jakaya Mrisho Kikwete. Alikuwa mwanasiasa mwenye sifa ya uchapakazi na asiye na mazaha.