1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Benny Gantz

Benjamin Gantz ni mwanajeshi wa Israel na mwanasiasa. Alihudumu kama mkuu wa 20 wa majeshi ya Israel kuanzia 2011 hadi 2015. Desemba 2018 alianzisha chama kipya kwa jina la Israel Resilience.