Mahojiano na Gavana wa Kivu Kaskazini kuhusiana na hali ilivyo Mashariki ya Kongo
10 Novemba 2008
Hali bado ni tete mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, ambapo jana kulizuka mapigano makali katika kijiji cha Ngungu kilichopo katikati ya Kivu kusini na Kaskazini.
https://p.dw.com/p/Fqto
Matangazo
Halima Nyanza alizungumza na Gavana wa mji mkuu wa jimbo la Kivu kaskazini, Goma, Julien Paluku kuhusiana na hali jinsi ilivyo kwa sasa.