You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Matangazo
Hali ya hewa
Iwe mvua au jua - ni suala la mazingira
Ruka sehemu inayofuata Habari
Habari
18.04.2024
18 Aprili 2024
Burundi yaomba msaada kukabiliana na athari za mvua
18.04.2024
18 Aprili 2024
Mabadiliko ya tabianchi yasababisha joto kali Sahel
17.04.2024
17 Aprili 2024
Dubai, Kazakhstan na Urusi zashuhudia mafuriko makubwa
15.04.2024
15 Aprili 2024
Maporomoko ya ardhi yauwa watu 12 Kongo kufuatia mvua
14.04.2024
14 Aprili 2024
Karibu watu 19 wafa kwa maporomoko ya udongo, Indonesia
08.04.2024
8 Aprili 2024
Amerika ya Kaskazini kushuhudia kupatwa kamili kwa jua
Onesha zaidi
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
Burundi yaomba msaada wa haraka kufuatia mafuriko
Burundi yaomba msaada wa haraka kufuatia mafuriko
Mvua nyingi zinazonyesha zimesababisha maji ya ziwa kuzidi kuongezeka na kuyavamia makaazi ya raia na milima kuporomoko.
Mvua kubwa yasababisha maafa katika mataifa mengi duniani
Mvua kubwa yasababisha maafa katika mataifa mengi duniani
Mvua kubwa na mafuriko yanaendelea kusababisha maafa katika mataifa mengi kote duniani.
Mwaka 2024 unakaribia kuwa wenye joto zaidi kuwahi kutokea
Mwaka 2024 unakaribia kuwa wenye joto zaidi kuwahi kutokea
UNICEF: Watoto wako katika hatari zaidi kuliko watu wazima kwani hawana uwezo wa kudhibiti joto la miili yao.
Florian Wirtz haondoki Leverkusen msimu ujao
Florian Wirtz haondoki Leverkusen msimu ujao
Wirtz amekuwa akiwindwa na vilabu mashuhuri vilivyotaka kumsajili msimu ujao.
UN: Kaya zilitupa milo bilioni 1, mwaka 2022.
UN: Kaya zilitupa milo bilioni 1, mwaka 2022.
Zaidi ya tani bilioni 1 za chakula -karibu moja ya tano ya mazao yote yanayopatikana sokoni -- kiliharibiwa mwaka 2022.
Wanaharakati wa mazingira mbioni kuhifadhi msitu wa Aberdare Kenya
Wanaharakati wa mazingira mbioni kuhifadhi msitu wa Aberdare Kenya
Muungano wa wahifadhi wa mazingira nchini Kenya unaowakilisha mashirika 73 wamewasilisha ombi kwa mahakama ya kitaifa ya mazingira kusitisha mradi wa ujenzi wa barabara kuu ya Ndunyu Njeru – Ihithe itakayopita katikati ya msitu na mbuga ya wanyama pori ya Aberdare, wakihoji kwamba madhara itakayosababisha kwa mfumo wa ikolojia, inapita faida zozote zinazowezekana.
Onesha zaidi
Matangazo
Ruka sehemu inayofuata Yenye kuangaziwa
Yenye kuangaziwa
Miaka 13 tangu kutokea ajali ya Fukushima
Ajali ya Fukushima inazingatiwa kuwa janga la pili la nyuklia katika historia ikilinganishwa na janga la Chernobyl.
Wakulima wakabiliwa na ukame Kusini mwa Jangwa la Sahara
Mashirika ya Umoja wa Mataifa yamesema mataifa mengi yanakabiliwa na viwango sawa vya ugumu wa maisha.
Je, ni nini maana ya upotoshaji kuhusu tabia nchi?
Habari potofu na uwongo pia huchapishwa na baadhi ya vyombo vya habari au kusambazwa na wanasiasa wanaopenda umaarufu.
Umoja wa Mataifa mbioni kutafuta makubaliano ya Dubai
Nchi zinazozalisha mafuta zinapinga wito wa kihistoria wa ulimwengu kuondokana na nishati ya visukuku.
Nchi za Ghuba zimejiandaaje baada ya biashara ya mafuta?
Nchi za Ghuba zina mpango kabambe wa nishati endelevu lakini mataifa hayo yamejipangaje baada ya biashara ya mafuta?
Wadau wajadili kilimo cha kulinda mazingira mjini Kampala
Mkutano huo umeandaliwa na Mtandao wa Fair Trade ulio na mataifa 29 wanachama kanda ya Afrika na Mashariki ya kati.