Hali ya kisiwani Pemba na zoezi la Uandikishaji wapiga kura
17 Septemba 2009Matangazo
Pamoja na hayo inaripotiwa bado kuna idadi kubwa ya wanajeshi wanaopiga doria, kukiwa na maoni tofauti juu ya kile kinachoendelea katika zoezi hilo katika maeneo ya Pemba ambako zoezi hilo limeanza tena.
Tumeweza kupata hivi punde maoni ya baadhi ya wakaazi wa maeneo hayo ambao walikuwa na haya ya kusimulia :-
Mwandishi: Halima Nyanza
Mhariri: Sekione Kitojo