You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Matangazo
Picha: Bistum Münster
Bado Tupo: Maisha ya wazee
Jifunze mengi kuhusu maisha ya wazee
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
Ujerumani yakataa mtihani wa ujuzi kwa madereva wazee
Ujerumani yakataa mtihani wa ujuzi kwa madereva wazee
Mitihani ya ujuzi wa udereva kwa wazee nchini Ujerumani ni suala la hiari. Je, hiyo inaweza kuwa hatari ya kiusalama?
Trump na Biden: Wagombea 2 wazee wawania wapigakura vijana
Trump na Biden: Wagombea 2 wazee wawania wapigakura vijana
Je, umri wa Biden na Trump una jukumu katika uchaguzi wa raiswa Marekani, na wanaweza kuwavutia kwao wapigakura vijana?
MAONI: Changamoto zinazowakumba wazee
MAONI: Changamoto zinazowakumba wazee
Meza inayojadiliwa mbele ya Meza ya duara katika kipindi cha Maoni safari hii ni changamoto zinazowakumba wazee. Je wapo katika nafasi gani katika jamii? Je jamii inawatunza kwa kiasi gani? Je mabadiliko katika jamii yanawapeleka vipi? Pamoja na mambo mengine ungana na nahodha wa kipindi Saumu Mwasimba akiwashirikisha baadhi ya wazee.
Wahamiaji wanaotafuta ajira waongezeka Ulaya Mashariki
Wahamiaji wanaotafuta ajira waongezeka Ulaya Mashariki
Uhaba wa wafanyakazi katika mataifa hayo husababishwa na demografia, watu wanaozeeka, uhamiaji na ukuaji wa uchumi.
Siku ya kimataifa ya kutokomeza manyanyaso kwa wazee
Siku ya kimataifa ya kutokomeza manyanyaso kwa wazee
Siku hii huadhimishwa ili kuhamasisha ulimwengu kuwajali wazee ambao hukabiliwa na changamoto lukuki.
Mzee Njama agawa Mali yake ili wazee wapate hifadhi
Mzee Njama agawa Mali yake ili wazee wapate hifadhi
Mzee Njama ni mzee wa miaka 100 anayeishi Nyeri, Kenya. Ametoa shamba kubwa kwa serikali ili wazee wajengewe nyumba za kuwatunza. #kurunzi24.11.2022
Onesha zaidi
Matangazo