1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

MAONI: Changamoto zinazowakumba wazee

Saumu Yusuf10 Oktoba 2023

Meza inayojadiliwa mbele ya Meza ya duara katika kipindi cha Maoni safari hii ni changamoto zinazowakumba wazee. Je wapo katika nafasi gani katika jamii? Je jamii inawatunza kwa kiasi gani? Je mabadiliko katika jamii yanawapeleka vipi? Pamoja na mambo mengine ungana na nahodha wa kipindi Saumu Mwasimba akiwashirikisha baadhi ya wazee.

https://p.dw.com/p/4XKl4