1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Zanzibar yakubaliwa uanachama CAF

Sylvia Mwehozi
16 Machi 2017

Hatimaye Zanzibar imekubaliwa uanachama wa shirikisho la soka barani Afrika CAF. Waziri mkuu wa Uholanzi Mark Rutte ashinda uchaguzi mkuu na Mahakama ya jimbo la Hawaii nchini Marekani imezuia marufuku mpya ya rais Donald Trump. Papo kwa Papo 16.03.2017.

https://p.dw.com/p/2ZKSQ