Waziri wa Ushirikiano na Maendeleo ya Kimataifa wa Uingereza ziarani Rwanda
8 Januari 2009Matangazo
Wito wa Uingereza umetolewa na waziri wake wa ushirikiano na maendeleo ya Kimataifa Douglas Alexander, ambaye amefanya mazungumzo na Rais wa Rwanda Paul Kagame mjini Kigali.
Taarifa zaidi na Daniel Gakuba kutoka Kigali.