1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Sheria na Haki

Wanasheria Tanzania kufanya uchaguzi

23 Machi 2018

Chama cha wanasheria wa Tanganyika TLS kimesema kuwa kitafanya uchaguzi kwa sheria zilizochapishwa katika gazeti la serikali lakini hakitazingatia vipengele vyote vinavyowagawa wanachama wake.

https://p.dw.com/p/2urmx
Tansania Dar es Salaam - Vizepräsident der Tansania Legal Society TLS Godwin Simbangwilimi
Picha: DW/H. Bihoga

J3.23.03.2018-Dar: Tanzania Lawa Society - MP3-Stereo

Hayo yamewekwa wazi na makamu wa rais wa chama hicho Godwin Simba Ngwilimi huku baadhi ya wanachama wakisema hizo ni dalili za serikali kuingilia uhuru wa chombo hicho kilichopo kwa mujibu wa sheria.