Wachimbaji watano wa madini kati ya sita walokuwa wamefukiwa na kifusi kwa muda wa siku 41 tangu Oktoba 5 katika machimbo ya mgodi ya Nyangalata, Wilaya ya Kahama, Shinyanga na hatimaye kuokolewa. Kutoka Shinyanga mkuu wa wilaya ya kahama Vita Kawawa anafafanua zaidi.