Waasi wataka mazungmzo
9 Desemba 2007Matangazo
NJAMENA:
Kundi kuu la waasi nchini Chad liliwapa pigo kali vikosi vya serikali,kimeitaka austria kuandaa mkutano wa amani-hii ni kwa muujibu wa gazeti la kila wiki la Austria-Profil lilivyoarifu.
Jamadari Brahim Djidda kutoka Umoja wa vikosi vinavyopigania demokrasi na maendeleo (UFDD) amemuandikia waziri wa ulinzi wa austria akiutaka Umoja wa Ulaya kuchangia mno kutatua mgogoro nchini Chad.