You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Matangazo
Allied Democratic Forces
Ruka sehemu inayofuata Habari
Habari
18.03.2024
18 Machi 2024
Mashambulio ya Pakistan yaua watu kadhaa Afghanistan
18.03.2024
18 Machi 2024
Walinda amani wajeruhiwa katika mapigano mashariki mwa DRC
17.03.2024
17 Machi 2024
Mapigano mapya yazuka mashariki mwa DRCongo
16.03.2024
16 Machi 2024
Hamas na Houthi wajadili kutanua makabiliano na Israel
14.03.2024
14 Machi 2024
Wahouthi wadai wanakombora lenye kasi ya juu
09.03.2024
9 Machi 2024
Marekani na washirika wake zadungua droni 15 za Yemen
Onesha zaidi
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
Mapigano makali yazuka upya mashariki mwa Kongo
Mapigano makali yazuka upya mashariki mwa Kongo
Umoja wa Mataifa wasema wanajeshi wake wanane walijeruhiwa katika shambulizi la bomu kwenye mji wa Sake, karibu na Goma.
Samia, Museveni na Ruto wakutana kujadili EAC
Samia, Museveni na Ruto wakutana kujadili EAC
Majadiliano hayo yanafanyika kuelekea uundwaji wa shirikisho la Jumuiya ya EAC yenye nchi 8 wanachama.
Hatua za kuimarisha masomo ya Hisabati na Sayansi kwa vitendo Uganda
Hatua za kuimarisha masomo ya Hisabati na Sayansi kwa vitendo Uganda
Mbinu ya kufunza sayansi, teknolojia, uhandisi na hisabati kama somo jumuishi lijulikanalo kwa ufupi kama STEM, imependekezwa hivi karibuni Uganda ili kuwasaidia wanafunzi waweze kukumbatia masomo ya Sayansi.
Waasi wapinga kuwekwa serikali ya mpito nchini Haiti
Waasi wapinga kuwekwa serikali ya mpito nchini Haiti
Rais wa Kenya William Ruto amesema mpango wa kuwapeleka maafisa wake wa polisi nchini Haiti bado upo.
Afrika Mashariki inaweza kuwa na viwango sawa vya kodi?
Afrika Mashariki inaweza kuwa na viwango sawa vya kodi?
Bunge la EALA limepitisha muswada wa kusawazisha sheria za kodi na ushuru lakini kuna mashaka ikiwa utaridhiwa.
Mahakama Uganda yakataa rufaa ya usajili wa kundi la LGBTQ
Mahakama Uganda yakataa rufaa ya usajili wa kundi la LGBTQ
Mahakama ya rufaa ya Uganda ilisema usajili wa kundi la SMUG ni kinyume cha maslahi ya umma na sera ya taifa.
Onesha zaidi
Matangazo
Ruka sehemu inayofuata Yenye kuangaziwa
Yenye kuangaziwa
Uganda yapinga kuondolewa AGOA
Hii ina maana kuwa Uganda imepoteza soko la bidhaa zake mbalimbali ikiwemo zile za vitu vya sanaa, viungo na ngozi.
Abiria wahangaishwa katika uwanja wa ndege Uganda
Wadadisi wanasema uamuzi huenda ukawa umechukuliwa kufuatia vilio vya wasafiri wanaodai kunyanyaswa katika úwanja huo.
Uganda yakabiliwa na wimbi kubwa la wakimbizi wa Congo
Wakimbizi hao wametembea kwa miguu na kukabiliana na hali ngumu ya mvua na mafuriko ambayo yanalikumba eneo hilo
UN yaondoka Mali huku ghasia zikiongezeka
Waasi wanaopigania kujitenga Kaskazini mwa Mali walichukuwa udhibiti wa kambi ya Kidal ilioachwa na Umoja wa Mataifa.
Mombasa kivutio cha watalii Afrika Mashariki
Shirika la ndege la Uganda sasa limeutaja mji wa mombasa kama njia yake ya faida kubwa Afrika Mashariki.
Nchi wazalishaji kahawa Afrika zajadili thamani ya zao hilo
Tanzania ambayo ndiyo itakuwa mwenyeji wa kongamano hilo mwakani imebainisha mikakati ya kuzidisha thamni ya zao hilo.