1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ujerumani kulifanyia mageuzi jeshi lake

Angela Mdungu
16 Aprili 2024

Makala ya Sura ya Ujerumani leo inaangazia mpango wa Waziri wa Ulinzi Boris Pistorius wa kulifanyia marekebisho jeshi la nchi hiyo, "Bundeswehr". Maheuzi hayo yanatokana na kile anachokiita Pistorius kuwa kitisho cha kiusalama barani Ulaya.

https://p.dw.com/p/4erAL