Tanzania yamkumbuka Mwalimu Nyerere
14 Oktoba 2016Matangazo
Sudi Mnette amezungumza na Mwalimu Azaveli Lwaitama, mhadhiri mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambaye kwanza anaeleza siku hii inamkumbusha nini.
Sudi Mnette amezungumza na Mwalimu Azaveli Lwaitama, mhadhiri mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambaye kwanza anaeleza siku hii inamkumbusha nini.