1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari za asubuhi 21.01.2018

Yusra Buwayhid
21 Januari 2018

Watu wanne wenye silaha wavamia hoteli ya Intercontinental mjini Kabul, Afghanistan. Chama cha SPD kupiga kura leo kuamua kama kinataka kuendelea na mazungumzo ya kuunda tena serikali ya muungano na kansela Angela Merkel. Maelfu ya wanawake waandamana kupinga utawala wa Togo.

https://p.dw.com/p/2rEn9