1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari za asubuhi 04.01.2018

Yusra Buwayhid
4 Februari 2018

Rubani wa Urusi auawa Syria baada ya ndege kudunguliwa na waasi. Raia wa Italia aua Waafrika sita kwa kuwafyatulia risasi. Vyama vya Ujerumani vyakubaliana juu ya sera ya nishati na vyavutana juu ya sera ya afya katika mazungumzo ya kuunda serikali ya mseto.

https://p.dw.com/p/2s5rq