Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa lalaani machafuko nchini Myanmar na kutoka yakome. Duru mpya ya mazungumzo kuhusu mzozo wa Syria kuanza mjini Astana nchini Kazakhstan. Ma Waziri wa fedha wa Ujerumani Wolfgang Schauble aunga mkono mpango kujenga Umoja wa Ulaya wenye mafungamano zaidi.