1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 20.09.2017

20 Septemba 2017

Watu wapatao 139 wamekufa baada ya tetemeko la ardhi kutokea nchini Mexico jana // Rais wa Marekani, Donald Trump amehutubia katika mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kuionya Korea Kaskazini // Kiongozi wa Myanmar, Aung San Suu Kyi ameendelea kukosolewa katika kile ambacho baadhi ya viongozi wa dunia wanakiita ''safisha safisha ya kikabila''.

https://p.dw.com/p/2kKWo