1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

ROME: Wito wa kuwa na pepo duniani

22 Julai 2007
https://p.dw.com/p/CBgB

Baba Mtakatifu Benedikt XVI ametoa wito wa kuwa na amani.Amesema,mataifa yasitishe migogoro inayosababisha umwagaji wa damu sehemu mbali mbali za dunia ili pepo iwepo katika ardhi hii. Papa alikuwa akiwahotubia waumini katika makazi yake ya mapumziko ya majira ya joto,katika milima ya Dolomite nchini Italia.