Serikali ya Tanzania hivi karibuni ilipiga marufuku wasanii kuweka picha katika mitandao ya kijamii ambazo hazina maadili. Wasanii wenyewe wanasema hatua hiyo si sawa kwasababu hiyo ni kazi inayowaingizia kipato. Unadhani mavazi yana nafasi gani katika suala la maadili ya taifa? Ungana naye Elizabeth Shoo katika Vijana Mchakamchaka.