1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

NSU

Kundi la watu watatu linalojulikana kama "National Socialist Underground" liliwauwa watu tisa wenye asili ya kigeni nchini Ujerumani kati ya mwaka 2000 na 2009, na askari polisi wa kike.