1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mwandishi Chipukizi wa Mazingira nchini Tanzania

26 Julai 2016

Katika mji wa Mwanza nchini Tanzania, Getrude Clement na wenzake wanacho kipindi cha redio cha Kila wiki, ambamo wanahamasisha vijana wenzao na jamii kwa ujumla kuwa rafiki wa mazingira, kwa kuyatunza na kuyasafisha. Vijana hao wana matumaini ya kubadilisha fikra za jamii kuhusu mazingira yao.

https://p.dw.com/p/1JWDB