Mkutano wa Umoja wa Vyama vya Kiliberali duniani wafanyika mjini Belfast,Ireland
16 Mei 2008Matangazo
Miongoni mwao ni Rais Abdulaye Wade wa Senegal, Morgan Tsvangirai kutoka chama cha upinzani cha MDC nchini Zimbabwe na Profesa Ibrahim Lipumba mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, ambaye alizungumza na Aboubakary Liongo, kwanza akielezea madhumuni ya mkutano huo.