Maisha ya wafanyakazi wa majumbani Arabuni yako hatarini
14 Julai 2011Matangazo
Sudi Mnette anaangalia jaala ya wafanyakazi wahamiaji katika mataifa ya Kiarabu, ambao wanajikuta katika unyanyasaji mkubwa wa haki za binaadamu, unaohatarisha hata maisha yao.
Mtayarishaji/Mtangazaji: Sudi Mnette
Mhariri: Othman Miraji