Maisha ya kuvumiliana katika dini
12 Septemba 2007Matangazo
Nchini Tanzania dini ambazo zina wafuasi wengi ni Uislamu na Ukristo, ingawa pia kuna dini nyingine zenye wafuasi wachache, kama vile Wahindu na pia wapo baadhi ya wananchi wanaoendelea na itikadi zao za asili.
Hawra Shamte kutoka Dar es Salaam anaelezea juu ya kuishi pamoja kwa amani baina ya watu wa dini mbali mbali nchini Tanzania.