1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kutoweka kwa wanawake katika nyadhifa za juu

Yusra Buwayhid
2 Februari 2018

Barani Afrika kuliwahi kuwa na marais wanawamke , lakini sasa hakuna. Kwingineko pia waliowahi kuwa marais wanawake baadhi yao wameondolewa madarakani. Hali inaonyesha kuwa uwakilishi wao katika ngazi za maamuzi kama wakuu wa nchi unazidi kupungua. Je hali hiyo inasababishwa na nini? Ni swali ambalo Yusra Abdallah Buwayhid analiuliza na akina mama wanatoa majibu.

https://p.dw.com/p/2rzCO