You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Matangazo
Usawa wa kijinsia
Usawa wa Kijinsia ni hali ya uapatikanaji sawa wa rasilimali na fursa bila kujali jinsia.
Ruka sehemu inayofuata Habari
Habari
21.09.2024
21 Septemba 2024
Harris amshambulia Trump na kumtaja kama tishio kwa wanawake
14.09.2024
14 Septemba 2024
Afisa wa UN asema wanawake wakimbizi Sudan wanahitaji ulinzi
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
Je ni salama kujamiiana wakati wa ujauzito?
Je ni salama kujamiiana wakati wa ujauzito?
Je ni salama ama si salama kwa mama kufanya tendo la ndoa wakati wa ujauzito? Je mtoto aliye tumboni yuko salama kiasi gani? Je anaweza kudhurika kwa namna yoyote? Kuna ukweli gani kuhusu hili? Ungana nasi kwenye makala haya ya Afya Yako, tukizungumzia hili, sambamba na wataalamu.
Wanaharakati wataka serikali ikomeshe mauaji ya wanawake
Wanaharakati wataka serikali ikomeshe mauaji ya wanawake
Wanawake 725 wamekufa nchini Kenya katika mauaji yanayohusiana na ukatili wa kijinsia.
Wanawake na Maendeleo
Wanawake na Maendeleo
Bi. Asawar Mustafa, mwanamke mkimbizi kutoka Sudan anayefanya kazi ya ufundi wa magari nchini Libya amefanikiwa kwa vitendo na kuonesha kwamba mwanamke pia anaweza kuwa fundi gereji hodari na kwamba kazi hiyo si ya wanaume pekee. Makala hii imeandaliwa na Zainab Aziz.
Wanawake na Maendeleo: Jeniffer Shigoli mtetezi wa haki za wanawake na mabinti
Wanawake na Maendeleo: Jeniffer Shigoli mtetezi wa haki za wanawake na mabinti
Jeniffer Richard Shigoli ni mwanaharakati anaesimamia masuala ya usawa wa kijinsia kupitia kampeni yake ya 'Binti Huru' anawasaidia watoto wa kike walio shuleni waweze kuepukana na vikwazo vitokanavyo na hedhi sabamba na kutoa elimu ya ujasiriamali kwa wanawake walio katika mazingira duni ili waweze kuepukana na umasikini.
Timu ya soka ya wanawake ya Ujerumani yabeba medali ya shaba
Timu ya soka ya wanawake ya Ujerumani yabeba medali ya shaba
Alexia Putellas wa Uhispania alipoteza nafasi ya kuipeleka mechi katika muda wa ziada baada ya kukosa penalti .
Changamoto za uzazi wa mpango nchini Sudan Kusini
Changamoto za uzazi wa mpango nchini Sudan Kusini
Makala ya afya yako inatizama changamoto za upangaji uzazi kwa kundi kubwa la wanawake na wasichana wa Sudan Kusini.
Onesha zaidi
Matangazo
Ruka sehemu inayofuata Yenye kuangaziwa
Yenye kuangaziwa
Ukeketaji wa kitabibu watishia mafanikio yaliofikiwa Afrika
Wakati vitendo vya "ukeketaji" vikiharamishwa nchini Kenya, sasa vimekuwa vikifanyika katika vyumba vya siri.
Tanzania: Mauaji dhidi ya wanawake yaongezeka
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Tanzania LHRC kimesema idadi ya wanawake wanauwawa imeongezeka.
Washindi wa tuzo ya Ujerumani kwa Afrika kutunukiwa Berlin
Muungano wa kwanza wa kitaifa wa amani nchini Cameroon kupokea tuzo ya Ujerumani kwa Afrika mjini Berlin.
Maudhui yote (823) kwenye mada hii