1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
JamiiUganda

Kutana na wanawake madereva bodaboda Kampala

26 Julai 2023

Wanawake wanajikita pia katika biashara ya uendeshaji bodaboda nchini Uganda. Katika mji Mkuu Kampala, baadhi ya wanawake wamepewa mafunzo ya sheria za usalama barabarani na ubunifu katika biashara hiyo.Tazama hii vidio ya mwandishi wetu Emmanuel Lubega!

https://p.dw.com/p/4UQfs