1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

KINSHASA:Wanajeshi Tisa wauwa na wafuasi wa Nkunda

30 Agosti 2007
https://p.dw.com/p/CBUd

Wanajeshi tisa wa Kongo wameuwawa baada wanamgambo wanaomuunga mkono Kiongozi wa waasi Laurent Nkunda kuwashambulia huko mashariki mwa jimbo la Kivu kaskazini.

Takriban wanamgambo 900 waliwavamia wanajeshi wa serikali katika eneo la Rubaya kiasi kilomita 60 kutoka mji wa Goma.