Kenya yasema ipo tayari kuzungumza na al-Shabab
28 Oktoba 2011Matangazo
Kenya imesema iko tayari kufanya mashauriano na wanamgambo wa al-Shabab wa Somalia pindi watakubali kuachana na matumizi ya nguvu na kusalimisha silaha zao. Naibu Waziri wa mambo ya kigeni wa Kenya, Richard Onyonka, amezungumza na DW kufuatia kadhia hiyo.
Mwandishi: Miraji Othman
Mhariri: Josephat Charo