Karatasi za kupigia kura zatarajiwa kuwasili Visiwani Zanzibar
27 Oktoba 2010Matangazo
Maandalizi yanashika kasi ambako karatasi za kupigia kura zinatarajiwa kuwasili visiwani humo muda wowote kuanzia hivi sasa, kama anavyotuarifu zaidi mwandishi wetu wa huko, Salma Said:
Mtayarishaji: Salma Said
Mpitiaji: Grace Patricia Kabogo
Mhariri:Miraji Othman