JERUSALEM: Olmert ataka mkutano na Abbas
19 Desemba 2006Matangazo
Waziri mkuu wa Israel Ehud Olmert, amesema yuko tayari kuhudhuria mkutano wa kilele wa Mashariki ya Kati na rais wa Palestina Mahmoud Abbas. Kufuatia mkutano wake na waziri mkuu wa Uingerza Tony Blair, Olmert alisema anatumai mkutano huo utafanyika hivi karibuni.