1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Hata aina za salaamu hupitwa na wakati?

22 Januari 2018

Kugonganisha mikono kwa mtindo wa ngumi ama vijana husema "Nipe tano“, ni mtindo unaotumiwa sana na vijana kama salamu, badala ya kupeana mikono. Kulikoni? Mbona vijana wamebadilisha mtindo wa kusalimiana? Ama ndio mabadiliko ya nyakati? Sikiliza makala haya ya Vijana mchakamchaka na Bruce Amani akizungumza na vijana.

https://p.dw.com/p/2rGvd