Seif Sharif Hamad, Katibu Mkuu wa chama cha CUF, azungumza na DW juu ya ziara zake katika mataifa makubwa duniani kwa kile anachokieleza kuwa ni kutafuta suluhisho la mzozo wa uliozuka baada ya kufutwa uchaguzi visiwani Zanzibar mwaka jana.
https://p.dw.com/p/1JOJx
Matangazo
MsikilizaeDaniel Gakuba katika kipindi cha Kinagaubaga, akizungumza na Seif Sharid Hamad akiwa mjini London.