Hali ya uchaguzi nchini Kenya
2 Oktoba 2007Matangazo
Chama hicho kilizindua kampeni zake rasmi hapo jana katika uwanja wa michezo ya Nyayo huku chama cha ODM kikinyimwa ruhusa ya kufanya mkutano wa hadhara katika uwanja wa Uhuru. Hata hivyo bunge bado halijavunjwa ila kiongozi wa taifa hilo anatangaza kuwa uchaguzi utafanyika katika kipindi cha miezi miwili ijayo.
Mwandishi wetu Mwai Gikonyo ana taarifa kamili kutoka Nairobi.