Haki za Watoto – Kipindi 07 – Hujuma dhidi ya Watoto
22 Machi 2011
Ingawa utumwa ulipigwa marufuku rasmi miaka mingi iliyopita, leo watoto wengi bado wananyanyaswa kama watumwa. Vijana hawa wanne chipukizi kutoka Cameroon walikabiliwa na jinamizi hilo.