Bunge la Tanzania na matangazo ya moja kwa mojaTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoMohammed Abdulrahman Mohammed05.05.20165 Mei 2016Vyombo vya habari vya Tanzania vimepigwa marufuku kuonyesha yanayoendelea bungeni moja kwa moja. Katika Kinagaubaga, waziri wa habari, utamaduni na michezo Tanzania, Nape Nnauye, anatoa ufafanuzi kuhusu uamuzi huo.https://p.dw.com/p/1IigBMatangazo