Ziara ya Rais wa China Xi Jinping nchini Tanzania
25 Machi 2013Matangazo
Rais huyo ametumia jukwaa la Tanzania kujitambulisha kwa Afrika ikiwa ni chini ya mwezi mmoja tangu achukue wadhifa huo.
Kutoka Dar es Salaam, George Njogopa anaarifu zaidi na kusikiliza ripoti bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mwandishi: George Njogopa
Mhariri: Mohammed Khelef