1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Zanzibar: Kujiuzulu kwa waziri wa Miundo Mbinu na Mawasiliano

24 Julai 2012

Waziri wa Miundo Mbinu na Mawasiliano wa Zanzibar Hamad Masoud Hamad amesisitiza kwamba hatua yake ya kujiuzulu kutoka wadhifa huo haitokani na shinikizo lolote jinsi inavyodhaniwa na wengi.

https://p.dw.com/p/15du7
Kujiuzulu kwa Waziri wa Miundo Mbinu na Mawasiliano kunatokana na ajali ya meli
Kujiuzulu kwa Waziri wa Miundo Mbinu na Mawasiliano kunatokana na ajali ya meliPicha: AP

Anasema alifanya uamuzi huo baada ya mazungumzo na viongozi husika. Nafasi yake imechukuliwa na Rashid Seif Suleiman ambaye ni mwakilishi wa wa jimbo la Ziwani kutoka chama cha CUF. Bw Hamad aliliarifu Baraza la Wawakilishi juu ya uamuzi wake wa kujiuzulu .

Jee wananchi huko Zanzibar wameipokeaje hatua ya kujiuzulu kwa waziri huyo hamad Masou Hamad ? Mwandishi wetu Salma Said ametukusanyia maoni ya baadhi yao.

(Kusikiliza maoni hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)

Mwandishi: Salma Said

Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman