Yoga ni aina ya mazoezi yenye asili yake nchini India. Mazoezi hayo sasa yamesambaa dunia nzima na yanaelezwa kusaidia kuimarisha viungo na misuli na pia kumwezesha mtu kutuliza mawazo. Katika "Afya Yako" Emmanuel Lubega anaangazia Yoga maalumu kwa wajawazito.