Watu wenye ulemavu – Kipindi 05 – Masikini hohehahe
21 Machi 2011
Mama na mwanawe wa kiume wanahimizana kwamba mustakabali wao sio mbaya vile. Wakati huo huo, Theresa anafichua jambo kwa Tofa na Fagilio anagundua kwamba mwanawe wa kiume anafuata nyayo zake za kujutia.