Watu wa mashariki mwa Afrika wakabiliwa na uhaba wa chakula
11 Agosti 2014Matangazo
Msemaji wa shirika la Umoja wa Mataifa linaloratibu utoaji wa misaada ya kibinaadamu-OCHA, mashariki mwa Afrika, Matthew Conway amesema hali ni ya mashaka. Grace Kabogo amezungumza na Mratibu wa Ushirikiano wa OCHA, Luluwa Ali, ambaye kwanza anaanza kuelezea jinsi shirika hilo lilivyojiandaa kukabiliana na tatizo hilo. Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mwandishi: Grace Patricia Kabogo
Mhariri: Josephat Charo