SiasaWasiwasi wa vijana kuangamizwa Kenya To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaJacob Safari24.05.201824 Mei 2018Wakaazi wa mtaa wa Mathare huko Nairobi, Kenya, wana wasiwasi kuhusiana na mustakabali wa vijana eneo hilo, kwani polisi wanadaiwa kuwaangamiza kwa kiasi kikubwa sana pasipo sababu. Sikiliza makala ya Mbiu ya Mnyonge iliyoandaliwa na Shisia Wasilwa. https://p.dw.com/p/2yFmrMatangazo