Wasiofunga mwezi wa Ramadhani Nigeria wakamatwaTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSudi Mnette21.06.201621 Juni 2016Jimboni Kano, Kaskazini mwa Nigeria, kuna kikosi maalum cha polisi, Hizbah, kinawatia mbaroni baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu wanaokula mchana katika kipindi hiki cha mwezi wa Ramadhani.https://p.dw.com/p/1JAbpMatangazo